Baadhi
ya wachambuzi wana-bet kwamba sio miaka mingi tutamuona Cristiano
Ronaldo anahamia kwenye ligi ya Marekani (MLS) ambayo hivi sasa
inaonekana kuwa na mvuto wa kibiashara.
Hii inathibishwa na magwiji wengi kuhamia katika ligi hiyo.
Gazeti
la New York Post limeandika kwamba Ronaldo amenunua aparment ya
kifahari kwenye jiji la New York. Appartment hiyo ipo kwenye moja ya
magorofa ya bilionea Donald Trump.
Lakini hiyo apartment wakati Ronaldo anainunua ilikuwa inamilikiwa na mfanyabiashara wa real estate Alessandro Proto.
Sasa swali linabaki je, Cristiano anajiandaa kuhamia kwenye ligi ya MLS au ni moja ya jinsi ya kutumia pesa zake?.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni