STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Alhamisi, 20 Agosti 2015

SIMBA YALETA STRAIKA HATARI KUTOKA SENEGAL

Simba iko katika hatua za mwisho kumalizana na mshambuliaji hatari kutoka Senegal ambaye anatarajia kutua nchini ndani ya siku mbili zijazo.




Papa Niang, raia wa Senegal aliyezaliwa Desemba 5, 1988, sasa ana miaka 26 atatua nchini kumalizana na Simba.

Mara ya mwisho alikuwa akiichezea CF Monana ya Gabon ambayo alijiunga nayo akitokea Al Shaabab ya Kuwaita, moja ya timu tajiri katika Ukanda wa Ghuba ya Uajemi.

Habari za ndani ya Simba zinaeleza Niang anakuja nchi kumalizana na uongozi wa Msimbazi baada ya kuwa imekubaliana naye kila kitu.

"Ni kweli, kuna mtu alipewa kufanya kazi hiyo ya Niang na mambo yamekwenda vizuri, sasa anakuja nchini na anamalizana na uongozi.

"Viongozi wamekuwa wakilishughulikia hilo kwa kasi kubwa ili kuwahi dirisha la usajili," kilieleza chanzo cha uhakika.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox