STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Alhamisi, 20 Agosti 2015

MANCHESTER UNITED WALIE TU, MANCHESTER CITY WAFANYA YAO........



Manchester City imekamilisha usajili wa nyota wa Valencia, Nicolas Otamendi kwa dau la paundi milioni 32, huku kocha mkuu wa klabu hiyo, Manuel Pellegrini akiamini kwamba amenunua beki bora zaidi kutoka Hispania.

Mlinzi huyo wa kimataifa wa Argentina alifuzu vipimo vya afya jana na kukubali kusaini mkataba wa miaka mitano. 
Otamendi alikuwa akihusishwa kutua Manchester United na Real Madrid, lakini leo ametambulishwa rasmi na Manchester City.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox