STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumanne, 15 Septemba 2015

REAL MADRID YAPOROMOKA KIFEDHA, SASA YASHIKA NAFASI YA PILI DUNIANI

The Cowboys, ambayo inamilikiwa na mfanyabiashara Mmarekani, Jerry Jones, inasemekana ina thamani ya dola za Kimarekani Bilioni 4. 
Licha ya kutofika katika Super Bowl tangu walipokwenda mara ya kwanza mwaka 1995, timu ya Jones inabaki kuwa juu ya wapinzani wake linapokuka suala la thamani kwa mujibu wa jarida la Forbes.
Real Madrid inazizidi kwa uthamani mahasimu wao wa Hispania, Barcelona na Manchester Unitedya England 

TIMU ZA MICHEZO ZENYE THAMANI KUBWA DUNIANI 

1. Dallas Cowboys (Mpira wa Kimarekani) - Pauni bilioni 2.59 
2. Real Madrid (Soka) Pauni bilioni 2.11
3 - New England Patriots ((Mpira wa Kimarekani)) - Pauni bilioni 2.07
3 - New York Yankees  (Baseball) - Pauni bilioni 2.07
4. Barcelona (Soka) - Pauni bilioni 2.05
5. Manchester United (Soka) - Pauni bilioni 2.01
6. Washington Redskins ((Mpira wa Kimarekani)) - Pauni bilioni 1.85
7. New York Giants ((Mpira wa Kimarekani) - Pauni bilioni 1.82
8. San Francisco 49ers ((Mpira wa Kimarekani) - Pauni bilioni 1.79
9. Los Angeles Lakers (Basketball) - Pauni bilioni 1.69
9. New York Jets ((Mpira wa Kimarekani)) - Pauni bilioni 1.69
10 - New York Knicks (Basketball) - Pauni bilioni 1.62
10 - Houston Texans ((Mpira wa Kimarekani)) - Pauni bilioni 1.62

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox