STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumatatu, 26 Oktoba 2015

LUKE SHAW AKANUSHA TUHUMA ZA USHOGA...........

                               

Beki wa kushoto wa Manchester United, Luke Shaw ameibuka na kukanusha

tetesi kua ni miongoni mwa wachezaji wawili wa Premier League wanaosadikika kujihusisha na mapenzi ya jinsia moja (ushoga).


Tetesi zilizopo ni kua wawili hao, akiwemo mchezaji mwingine wa kimataifa wa England- watajitangaza baadae kuhuhusu suala hilo, lakini Shaw amekataa kua sio miongoni kupitia mtandao wa twitter ameandika ujumbe unaosomeka "sio mimi, kwa hiyo kila mtu kimya sasa"

 
Aliandika ujumbe huo baada ya klabu yake ku tweet kukanusha swala hilo na kumuunga mkono


The idiocy of these Luke Shaw rumours & he's not even gay! And so what if he is? He's a United player and we support him

Mwaka 1990, Justin Fashanu alifichua kua yeye ni shoga, lakini hakuna mchezaji yeyote kutoka nchini England aliyefata nyayo hizo mpaka sasa.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox