STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumanne, 5 Januari 2016

ISIKUPITE HII YAMO MENGI KUHUSU REAL MADRID.................

The former France and Real Madrid superstar has replaced sacked Rafa Benitez in the Bernabeu hotseat
YAMETIMIA, Rafa Benitez amefukuzwa Real Madrid baada ya miezi saba ya kuwa kazini na sasa gwiji wa klabu na Mwanasoka Bora wa zamani wa dunia, Zinedine Zidane amechukua nafasi yake.
 Real Madrid president Florentino Perez announced ciub legend Zinedine Zidane as Benitez's replacement 
Uamuzi huo umefikiwa katika cha dharula baada ya Real kulazimishwa sare ya 2-2 na Valencia Jumapili.
 
Rais wa klabu, Florentino Perez amefikia uamuzi huo wakati klabu ikiwa inashika nafasi ya tatu katika msimamo wa La Liga, ikizidiwa pointi mbili na mahasimu Barcelona, na nne dhidi ya vinara, Atletico Madrid.
 
 
 Zidane with his wife Veronique and sons (left to right) Theo, Elyaz, Enzo and Luca after he was announced as the new boss
 Zidane na mke wake Veronique na watoto wao (kushoto na kulia ) Theo, Elyaz, Enzo na Luca

Kufukuzwa huku kumeibua maswali mengi kwa wadau mbalimbali wa soka huku wengi wakionekana kumpinga rais wa klabu hiyo Perez na moja ya wachambuzi wa soka Mr'Choi akisema.
 
"Unajua itafika muda tuhoji uwelewa wa viongozi katika vilabu juu ya maswala ya soka kwa namna moja au nyingine sikuona sababu za Perez kumtimua Ancelotti na hivi sasa sijaona sababu za mantiki ya kisoka za kumfukuza Benitez kiukweli hii inakuwa ni dharau kubwa sana.
 
  Tumeona Mourinho katimuliwa Chelsea na sababu zipo hadharani lakini tumeona hali ya Manchester United mpaka sasa lakini Van Gaal bado ni kocha wa klabu hiyo sasa Perez anakipi cha kutujuza kilicho mfanya amtimue Benitez?
 
 Perez anahitaji kocha wa dizaini gani? mbona halidhiki kiukweli ni miongoni mwa viongozi ambao hawalitendei haki soka, nadhani tusubiri tuone kama Zidane atamtosheleza Perez maana kazi ipo klabu tangu 1992 imewafukuza makocha wengi 23  wapo ambao kwa asilimia kubwa hawakustaili kufukuzwa au ndo tuseme mazoe hujenga tabia ama kilema?"

Gareth Bale is upset that Real Madrid did not show more patience in manager Rafa Benitez before making the decision to sack him 
  Hayo ni baadhi yaliosemwa na mchambuzi huyo lakini kufukuzwa kwake wengi wanahisi Gareth Bale ambae ni miongoni mwa wachezaji waliofanya vyema chini ya Benitez anaweza kutimka huku Manchester United wakipewa nafasi kubwa kumsajili.
 Sportsmail's mocked-up picture of how Bale might look in a Manchester United shirt should he swap the Bernabeu for Old Trafford
Na hii  inatokana na kocha mpya wa Real Madrid Zidane amekuwa amkubali mchezaji huyo wa Wales kuwa miongoni mwa wachezaji ghali na wenye uwezo mkubwa Duniani.

BALE'S CHINI YA  BENITEZ ;

November 29 vs Eibar (W) GOAL
December 5   vs Getafe (W) GOAL
December 13 vs Villarreal (L)
December 20 vs Rayo Vallecano (W) 4 GOALS
December 30 vs Real Sociedad (W)
January 3      vs Valencia (D) GOAL
          6 GAMES: 7 GOALS 


MAKOCHA 23 WALIOIFUNDISHA REAL MADRID TANGU 1992 NA MAFANIKIO YAO;
 
Benito Floro 
Nationality: Spain 
Reign: July 1, 1992 - March 7, 1994
Win percentage: 56.52% 
Honours: Copa del Rey (1), Spanish Super Cup (1)

 
Vicente del Bosque 
Nationality: Spain 
Reign: March 7, 1994 - June 30, 1994
Win percentage: 45.45% 

 
Jorge Valdano 
Nationality: Argentina 
Reign: July 1, 1994 - January 21, 1996
Win percentage: 50.00%
Honours: La Liga (1)

 
Vicente del Bosque 
Nationality: Spain 
Reign: January 21, 1996 -  January 24, 1996 
Win percentage: 100.00%
.
 
Arsenio Iglesias 
Nationality: Spain 
Reign: January 24, 1996 - May 29, 1996 
Win percentage: 52.38%

 
Fabio Capello 
Nationality: Italy 
Reign: July 1, 1996 - June 24, 1997 
Win percentage: 64.58% 
Honours: La Liga (1)

 
Jupp Heynckes 
Nationality: Germany 
Reign: June 25, 1997 - May 28, 1998
Win percentage: 49.06% 
Honours: Spanish Super Cup (1), Champions League (1)

 
Jose Antonio Camacho 
Nationality: Spain 
Reign: June 17, 1998 - July 9, 1998 

 
Guus Hiddink 
Nationality: Holland
Reign: July 15, 1998 - February 23, 1999
Win percentage: 55.88% 
Honours: Intercontinental Cup (1)

 
John Toshack 
Nationality: Wales 
Reign: February 24, 1999 - November 17, 1999 
Win percentage: 51.35%

 
Vicente del Bosque 
Nationality: Spain 
Reign: November 17, 1999 - June 23, 2003 
Win percentage: 54.51% 
Honours: La Liga (2), Spanish Super Cup (1), Champions League (2), Super Cup (1), Intercontinental Cup (1)

 
Carlos Queiroz 
Nationality: Portugal 
Reign: June 25, 2003 - May 24, 2004 
Win percentage: 57.63% 
Honours: Spanish Super Cup (1)

 
Jose Antonio Camacho 
Nationality: Spain 
Reign: May 25, 2004 - September 20, 2004 
Win percentage: 66.67%

 
Mariano Garcia Remon 
Nationality: Spain 
Reign: September 20, 2004 - December 30, 2004 
Win percentage: 60.00%

 
Vanderlei Luxemburgo 
Nationality: Brazil 
Reign: December 30, 2004 - December 4, 2005 
Win percentage: 62.22%

 
Juan Ramon Lopez Caro 
Nationality: Spain 
Reign: December 4, 2005 - June 1, 2006
Win percentage: 50.00%

 
Fabio Capello 
Nationality: Italy 
Reign: July 5, 2006 - June 28, 2007 
Win percentage: 56.00%
Honours: La Liga (1)

 
Bernd Schuster 
Nationality: Germany 
Reign: July 9, 2007 - December 9, 2008 
Win percentage: 58.67%
Honours: La Liga (1), Spanish Super Cup (1)

 
Juande Ramos 
Nationality: Spain 
Reign: December 9, 2008 - June 1, 2009 
Win percentage: 66.67%
.
 
Manuel Pellegrini 
Nationality: Chile
Reign: June 2, 2009 - May 26, 2010 
Win percentage: 75.00%

 
Jose Mourinho 
Nationality: Portugal 
Reign: May 28, 2010 - June 1, 2013 
Win percentage: 71.91%
Honours: La Liga (1), Copa del Rey (1), Spanish Super Cup (1)

 
Carlo Ancelotti 
Nationality: Italy 
Reign: June 25, 2013 - May 25, 2015 
Win percentage: 74.79%
Honours: Copa del Rey (1), Champions League (1), Super Cup (1), Club World Cup (1)

 
Rafa Benitez 
Nationality: Spain 
Reign: June 3, 2015 - January 4, 2016
Win percentage: 68%

 Win ratio in La Liga: Benitez (64.7%) Ramos (70.8%) Ancelotti (75.0%) Mourinho (76.3%) Pellegrini (81.6)
 
The former Real Madrid playmaker is unveiled as the club's latest manager at the Bernabeu
 
JE! ZIDANE ATAFIKIA MAFANIKIO YA MAKOCHA HAWA BAADA YA KUWA KOCHA MKUU WA REAL MADRID?
 
 

 Johan Cruyff won over 20 trophies, including three European Cups in a row with Ajax
JOHAN CRUYFF
Alishinda mataji 20 akiwa kama mchezaji na  Ajax. na alishinda mataji14 kiwa kocha wa Barcelona
 
Kenny Dalglish lifted 30 trophies as a Liverpool player and five more as manager at AnfieldKENNY DALGLISH
Alishinda mataji 30 akiwa kama mchezaji na mataji14 akivifundisha vilabu vya Liverpool,Blackburn Rovers na Celtic.

Carlo Ancelotti won the European Cup in 1990 with AC Milan and guided Real Madrid to success in 2014
CARLO ANCELOTTI
Akiwa kama mchezaji wa vilabu vya As Roma,Ac Milan na Inter Milan alitwaa mataji 15 na akiwa kama kocha mpaka sasa kashinda mataji 17.

Guardiola went on to win 14 major trophies with Barcelona before moving on to Bayern Munich

Pep Guardiola

Alipokuwa mchezaji wa Barcelona alishinda mataji 17 na akiwa kocha mpaka sasa kashinda mataji 20 kwa vilabu vya Barcelona na Bayern Munich.

 

The 43-year-old is forever revered in Madrid

Cha msingi ni kusubiri kamakiungo huyu mkongwe atafuata nyayo za baadhi ya wachezaji ambao katika ngazi ya ukocha wamepata mafanikio makubwa sana yasije yakamkuta yaliomkuta kina
ALAN SHEARER,PAUL INCE na DIEGO MARADONA watu ambao walipokuwa wachezaji walipata mafanikio makubwa lakini ngazi ya ukocha wakaboronga.


Zidane scores a wonder goal to win the 2002 Champions League

                                        MAFANIKIO YA ZIDANE  

Juventus
Serie A: 1996–97, 1997–98
Italian Super Cup: 1997
UEFA Super Cup: 1996
Intercontinental Cup: 1996
Real Madrid
La Liga: 2002–03
Spanish Super Cu: 2001, 2003
UEFA Champions League: 2001–02
UEFA Super Cup: 2002
Intercontinental Cup: 2002
Zidane watches down the touchline during a Real Madrid Castilla match in Segunda 2

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox