STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Ijumaa, 8 Januari 2016

KUMBE MBWANA SAMATTA SI MTANZANIA........................


KWAMBA SAMATTA ANATOKEA DR CONGO....EEH!

Pamoja na umahiri wa mtandao wa Wikipedia lakini ajabu umeshindwa kujua uraia wa Mbwana Samatta anayekipiga TP Mazembe ya DR Congo.

Badala yake umembandika uraia wa DR Congo ikiwa ni saa chache baada ya kubeba tuzo ya mwanasoka Afrika kwa wanaocheza barani Afrika.


Mtandao huo maarufu duniani ulionyesha Samatta ni raia wa DR Congo. Lakini baada ya saa kadhaa ulibadili na kuweka taarifa mpya inayoonyesha kuwa uraia wake ni Tanzania ikiwa ni sehemu ya kurekebisha kosa hilo.
ILIONEKANA HIVI BAADA YA KUBADILI                          

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox