STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Ijumaa, 8 Januari 2016

UWEPO WA MESSI LONDON WAZUA MASWALI MENGI............

http://assets.fodors.com/destinations/2869/tower-bridge-london-england_main.jpg

Baada ya mchezo wa kombe la mfalme nchini uhispania kumalizika mshambuliaji wa Barcelona , L.Messi akiwa na mke wake Antonella Roccuzzo walijongea jijini London kupata chakula cha usiku wakiwa pamoja na kiungo wa Chelsea,Fabregas na mke wake Daniela Semaan.

Baada ya makutano hayo ambapo mke wa Messi bibie Antonella alionekana kuvutiwa na mazingira ya Jiji hilo na kupelekea kuleta majadiliano mengi kuwa huenda Chelsea wakatumia lugha ya mke wa Messi kumshawishi mshambuliaji huyo kutua Stam ford Bridge.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox