STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumatano, 13 Januari 2016

WAKATI ADIDAS WAKIZINDUA NJUMU MPYA YA MESSI, USIKU WA JUMANNE KULE URENO SANAMU LA RONALDO LILIANDIKWA JINA LA MESSI...................

 
VYOMBO vya habari nchini Ureno, vimeripoti kuwa sanamu la Cristiano Ronaldo lililopo huko Fanchal, mji mkuu wa kisiwa cha Madeira lilivamiwa na wahuni na kupakwa rangi ya jina na namba anayovaa Lionel Messi. 

Tukio linadaiwa kufanyika usiku wa kuamkia Jumanne, saa chache baada ya nyota huyo wa kimataifa wa Agentina na Barcelona kutwaa tuzo yake ya tano ya mchezaji bora wa mwaka wa dunia maarufu kama Ballon d’Or akimshinda Ronaldo. 

Jina la Messi pamoja namba 10 zote zilichorwa kwa rangi nyekundu katika sanamu hilo kabla ya wahusika kwenda kusafisha sanamu hilo na kufuta kilichoandikwa. 

Akihojiwa dada yake Ronaldo, Katia Aveiro amesema tukio hilo ni la aibu na linaonyesha jinsi wanamuonea wivu ndugu yake huyo.

 Ronaldo alizindua sanamu hilo la shaba lenye urefu wa mita 3.40 Desemba mwaka 2014, mita chache kutoka katika makumbusho yake mwenyewe aliyotengeneza katika mji huo.


Wakati huohuo

Kampuni ya Adidas ambao ni wadhamini wa Lionel Messi wamemtengenezea bongo la kiatu.

Adidas wamemtengenezea Messi kiatu hicho kipya mara tu baada ya kutwaa tuzo ya tank ya mchezaji bora wa dunia maarufu kama Ballon d'Or.

Mchezaji huyo mwenye kipaji cha aina yake ameweka rekodi ya kuwa mwanasoka wa kwanza kuchukua tuzo hizo tano.

Cristiano Ronaldo ambaye ni mpinzani wake mkubwa ameendelea kubaki na tuzo tatu.
 






VYOMBO vya habari nchini Ureno, vimeripoti kuwa sanamu la Cristiano Ronaldo lililopo huko Fanchal, mji mkuu wa kisiwa cha Madeira liliamiwa na wahuni na kupakwa rangi ya jina na namba anayovaa Lionel Messi. Tukio linadaiwa kufanyika usiku wa kuamkia Jumanne, saa chache baada ya nyota huyo wa kimataifa wa Agentina na Barcelona kutwaa tuzo yake ya tano ya mchezaji bora wa mwaka wa dunia maarufu kama Ballon d’Or akimshinda Ronaldo. Jina la Messi pamoja namba 10 zote zilichorwa kwa rangi nyekundu katika sanamu hilo kabla ya wahusika kwenda kusafisha sanamu hilo na kufuta kilichoandikwa. Akihojiwa dada yake Ronaldo, Katia Aveiro amesema tukio hilo ni la aibuna linaonyesha jinsi wanamuonea wivu ndugu yake huyo. Ronaldo alizindua sanamu hilo la shaba lenye urefu wa mita 3.40 Desemba mwaka 2014, mita chache kutoka katika makumbusho yake mwenyewe aliyotengeneza katika mji huo.

Copy the BEST Traders and Make Money : http://bit.ly/fxzulu

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox