MENEJA wa Real Madrid,
Zinedine Zidane amemuwek kiungo wa Juventus Paul Pogba katika orodha
yake ya juu katika usajili wa majira yajayo ya kiangazi.
Chanzo: Tuttosport
KLABU ya Atletico Madrid inatajwa kukaribia kumuongeza mkataba Antonie Griezmann ambao utafanya mshahara wake kuongezeka na ada ya kuvunja mkataba kupaa kutoka euro milioni 80 mpaka 100. Klabu za Paris saint-Germain na Real Madrid zote zinatajwa kumuwania.
Chanzo: AS
KLABU ya Galatasaray imeungana na Inter Milan, Chelsea na barcelona katika mbio za kumuwania Ezequiel Lavezzi ambaye amepanga kuondoka Paris Saint-Germain pindi mkatab wake utakapomalizika mwishoni mwa msimu huu.
Chanzo: Calciomercato.com
KLABU ya manchester United inaripotiwa kuingia katika mbio za kumuwania mshambuliaji wa Sporting Lisbon Islam Slimani baada ya nyota huyo anayekadiriwa kuwa na thamani ya paundi milioni 13 kufunga mabao 13 katika mechi 16 msimu huu.
Chanzo: The Sun
MENEJA wa Manchester United anaweza kutimuliwa kama kikosi chake kikifungwa na Liverpool huku klabu hiyo ikihofia inaweza kukosa nafasi ya kushiriki michuano ya Ligi ya Mabingwa Ulaya msimu ujao.
Chanzo: The Times
Chanzo: Tuttosport
KLABU ya Atletico Madrid inatajwa kukaribia kumuongeza mkataba Antonie Griezmann ambao utafanya mshahara wake kuongezeka na ada ya kuvunja mkataba kupaa kutoka euro milioni 80 mpaka 100. Klabu za Paris saint-Germain na Real Madrid zote zinatajwa kumuwania.
Chanzo: AS
KLABU ya Galatasaray imeungana na Inter Milan, Chelsea na barcelona katika mbio za kumuwania Ezequiel Lavezzi ambaye amepanga kuondoka Paris Saint-Germain pindi mkatab wake utakapomalizika mwishoni mwa msimu huu.
Chanzo: Calciomercato.com
KLABU ya manchester United inaripotiwa kuingia katika mbio za kumuwania mshambuliaji wa Sporting Lisbon Islam Slimani baada ya nyota huyo anayekadiriwa kuwa na thamani ya paundi milioni 13 kufunga mabao 13 katika mechi 16 msimu huu.
Chanzo: The Sun
MENEJA wa Manchester United anaweza kutimuliwa kama kikosi chake kikifungwa na Liverpool huku klabu hiyo ikihofia inaweza kukosa nafasi ya kushiriki michuano ya Ligi ya Mabingwa Ulaya msimu ujao.
Chanzo: The Times
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni