STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Alhamisi, 7 Januari 2016

TANZANIA YAPAA TENA KWENYE VIWANGO VYA SOKA DUNIANI, UBELGIJI WAONGOZA..

https://s3.amazonaws.com/tanzaniasports.com/2015/09/04200900/Taifa-Stars-.jpg
Shirikisho la Kandanda la Kimataifa, FIFA, limetoa orodha ya viwango vya ubora wa soka duniani kwa mwezi Januari. Katika orodha hio iliyotolewa leo, Tanzania imepanda kwa nafasi sita.

Kwa kupanda nafasi sita, Tanzania sasa inashika nafasi ya 126 duniani huku ikishikilia nafasi ya 39 barani Afrika. Uganda bado inaongoza kwa upande wa Afrika Mashariki ikiwa namba 62 duniani na ya 12 barani Afrika.

Belgium bado bado inaongoza duniani ikifuatiwa na Argentina na Hispania katika nafasi ya pili na tatu. Barani Afrika, Ivory Coast bado ipo juu ikishika nafasi ya 19 duniani. Algeria na Ghana zinafuatia zikishika nafasi ya 28 na 33 duniani na namba 2 na 3 barani Afrika.

Ivory Coast  ndio  taifa pekee la Afrika lililoko katika ishirini bora wakiwa nafasi ya 19, Algeria wako katika nafasi ya 28 .



Kwa ukanda wa Afrika  Mashariki Uganda wanaongoza  wakiwa katika nafasi ya  63,  Kenya wao wako nafasi ya 98,  Rwanda wako nafasi ya 101 huku majirani zao Burundi  wakiwa katika nafasi ya 112, na Tanzania wao wako katika nafasi ya 132.



20 BORA:



1 Belgium

2 Argentina

3 Spain

4 Germany

5 Chile

6 Brazil

7 Portugal

8 Colombia

9 England

10 Austria

11 Uruguay

12 Switzerland

13 Ecuador

15 Italy

16 Romania

17 Wales

18 Croatia

19 Côte d'Ivoire
20 Hungary

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox