STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Ijumaa, 25 Machi 2016

JIKUMBUSHE UWANJA WA ZAMANI WA ARSENAL "HIGHBURY" ULIVYO SASA.........



 


Mwaka 2006 club ya Arsenal ihamia kwenye uwanja wake mpya The Emirates Stadium ambao una uwezo wa kubeba watazamaji 60,000.
 

Baada ya kuhama kutoka kwenye uwanja wa zamani wa Highbury, uwanja huo uliuzwa na kubadirishwa kuwa apartment ambapo sasa hivi unaitwa Highbury Square.

Hizi ni picha za muonekano wa nyumba Apartment hizo ambapo bado umbo la uwanja linaonekana. Sehemu ya katikati ambayo ilikua ni uwanja wamefanya imekua garden ambapo picha kutoka juu inaweza kukuonyesha kwamba hapa palikua na uwanja wa soka.

2 3 4 5 6

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox