Ratiba ya robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya, imepangwa leo kule Nyon, Switzerland.
Mechi ambayo inaonekana kuwa gumzo ni ile kati ya Barcelona dhidi ya Atletico Madrid zote za Hispania.
Lakini inaonekana kama Real Madrid kama imepata mchekea kwa kupangwa na Wolfsburg ya Ujerumani huku PSG ikirudi kucheza tena England dhidi ya Manchester City.
Mechi ambayo inaonekana kuwa gumzo ni ile kati ya Barcelona dhidi ya Atletico Madrid zote za Hispania.
Lakini inaonekana kama Real Madrid kama imepata mchekea kwa kupangwa na Wolfsburg ya Ujerumani huku PSG ikirudi kucheza tena England dhidi ya Manchester City.
Kumbuka michezo hiyo itachezwa mwezi ujao,mwezi wa nne tarehe 5/6 kisha tarehe 12/13
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni