UEFA KUZISHITAKI MAN
UNITED NA LIVERPOOL KUTOKANA NA VURUGU.
SHIRIKISHO la Soka la Ulaya-UEFA, imefungua kesi ya kinidhamu dhidi ya
Manchester United na Liverpool kufuatia vurugu zilizotokea jana katika
mchezo wa marudiano wa Europa League uliofanyika katika Uwanja wa Old
Trafford ambapo watu watano walikamatwa. Taarifa zinadai kuwa watu wanne
waliokamatwa ni mashabiki wa Liverpool na mmoja wa United baada ya
vurugu hizo kutokea katika Jukwaa la Mashariki. Tukio limetokea wakati
United wakipoteza kwa jumla ya mabao 3-1 dhidi ya mahasimu wao Liverpool
baada ya kutoka sare ya bao 1-1 katika mchezo huo wa maruadiano. Polisi
katika jiji la Manchester wamesema pamoja na kukamata mashabiki hao
lakini kwa ujumla mashabiki wengi walikuwa watulivu na kuwashukuru kwa
ushirkiano waliotoa.
Copy the BEST Traders and Make Money : http://ow.ly/KNICZ
Copy the BEST Traders and Make Money : http://ow.ly/KNICZ
SHIRIKISHO la Soka la
Ulaya-UEFA, imefungua kesi ya kinidhamu dhidi ya Manchester United na
Liverpool kufuatia vurugu zilizotokea jana katika mchezo wa marudiano wa
Europa League uliofanyika katika Uwanja wa Old Trafford ambapo watu
watano walikamatwa.
Taarifa zinadai kuwa watu wanne waliokamatwa ni
mashabiki wa Liverpool na mmoja wa United baada ya vurugu hizo kutokea
katika Jukwaa la Mashariki.
Tukio limetokea wakati United wakipoteza kwa
jumla ya mabao 3-1 dhidi ya mahasimu wao Liverpool baada ya kutoka sare
ya bao 1-1 katika mchezo huo wa maruadiano.
Polisi katika jiji la
Manchester wamesema pamoja na kukamata mashabiki hao lakini kwa ujumla
mashabiki wengi walikuwa watulivu na kuwashukuru kwa ushirkiano
waliotoa.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni