STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumamosi, 26 Machi 2016

STORI KUBWA TATU KATIKA SOKA IKIWEMO YA MCHEZO WA NIGERIA NA MISRI...........

Alex Iwobi Nigeria debut rules out England chance as thousands flock to watch Super Eagles
 
TIMU ya taifa ya Nigeria imelazimishwa sare ya kufungana bao 1-1 na Misri katika mchezo wa Kundi G kufuzu Fainali za Mataifa ya Afrika leo mjini Kaduna.
 
 Over 40,000 supporters crammed into Nigeria's Ahmadu Bello Stadium which has a total capacity of 25,000 
 Mashabiki takribani 40,000 walishuhudia mchezo huo katika uwanja wa  Ahmadu Bello uwanja ambao unauwezo wa kuchukua watazamaji 25,000

Oghenekaro Etebo alianza kuifungia Nigeria dakika ya 60, akimalizia mpira uliorudi baada ya kufonga mwamba kufuatia shuti la Kelechi Iheanacho.
 
 Oghenekaro Etebo (second from left) celebrates after he put Nigeria ahead after 60 minutes against Egypt
 Oghenekaro Etebo (alienyanyua mikono juu) 
 
Hata hivyo, Mohammed Salah akaisawazishia Misri dakika ya mwisho na kuwazima mashabiki wa nyumbani.
 
 Former Chelsea player Mohamed Salah equalised in the 90th minute and was mobbed by his Egypt teammates
  Misri wakishangilia goli la Mohamed Salah

Sare hiyo inaifanya Misri ifikishe pointi saba na kuendelea kuongoza kundi hilo, ikifuatiwa na Nigeria yenye pointi tano sasa, wakati Tanzania iliyoifunga Chad mjini D'jamena Jumatano ni ya tatu kwa pointi zake nne.
 
 Police patrolled the stadium on horseback during the African Cup of Nations qualifier on Friday in Nigeria
 
Nigeria na Misri zitarudiana mjini Alexandria Jumanne, wakati Tanzania na Chad zitarudiana Dar es Salaam Jumatatu.
Ikumbukwe mshindi wa kundi tu ndiye atafuzu kwa fainali za mwakani za AFCON nchini Gabon.
 Some fans took to sitting on top of rooftops in order to get a view of their national side playing on Friday
 
Arsenal's Iwobi came on for talented 20-year-old Moses Simon who plays for Gent in the Belgian Pro League 
 Iwobi akiingia kuchukua nafasi ya Moses Simon

 
Mabingwa watetezi nao, Ivory Coast wamepata ushindi wa kwanza Kundi I baada ya kuilaza 1-0 Sudan Uwanja wa Felix Houphouet-Boigny mjini Abidjan, bao pekee la Gervinho dakika ya 34.
 
Tembo wa Ivory Coast waliotoa sare ya bila kufungana katika mechi zao mbili za mwanzo dhidi ya Gabon na Sierra Leone, sasa wanafikisha pointi tano na kupanda nafasi ya pili nyuma ya Gabon wenye pointi saba, wakati Sudan ni ya tatu kwa pointi zake tatu na Sierra Leone yenye pointi moja inashika mkia.
 
Matokeo mengine, Algeria imeifunga 7-1 Ethiopia Uwanja wa Mustapha Tchaker, Mali imeifunga 1-0 Equatorial Guinea Uwanja wa Machi 26, Guinea imetoa sare ya 0-0 Malawi Uwanja wa Septemba 28, Tunisia imeifunga 1-0 Togo Uwanja wa Mustapha Ben Jannet, Mauritania imeifunga 2-1 Gambia Uwanja wa Nouakchott na Swaziland imelazimishwa sare ya 1-1 na  Zimbabwe.
 
 
                      STORI YA PILI; 
 A Holland supporter gets into the spirit of the friendly, kitted out with a lion mask in the stands at the Amsterdam ArenA
 
 
 
Kiungo wa Ufaransa, Paul Pogba (katikati) akiruka juu kupiga mpira katika mchezo wa kirafiki wa kimataifa dhidi ya wenyeji Uholanzi mjini Amsterdam usiku wa jana
.
 Johan Cruyff tribute: Amsterdam ArenA rises in unison to pay their respects to Holland's
 
 Ufaransa ilishinda 3-2 mabao yake yakifungwa na Antoine Griezmann, Olivier Giroud na Blaise Matuidi wakati ya Uholanzi yalifungwa na Luuk de Jong na Ibrahim Afellay
 
KATIKA MCHEZO HUO UMATI WA MASHABIKI NA WACHEZAJI WALITOA HESHIMA YA KUMKUMBUKA GWIJI WA UHOLANZI JOHAN CRUYFF ILIPOFIKA DAKIKA YA 14 IKIWA NI NAMBA YA JEZI ALIYO IVAA MAREHEMU;

 France goalscorer Olivier Giroud stands and applauds in the 14th minute in respect to Johan Cruyff
 
Fans left flowers and scarves in tribute to Cruyff outside the stadium, which will soon be named after him
A young fan holds up a sign to pay his respects to the late 68-year-old, who passed away on Thursday
Cruyff, widely regarded as one of the greatest footballers in history, was honoured with a minute's silence prior to kick-off

                                               

                                               MATCH FACTS

Holland (4-4-2): Cillessen, Veltman, Bruma, Van Dijk, Blind, Willems (Van Aanholt 78), Klaassen (Wijnaldum 76), Clasie (Depay 47), Sneijder (Bazoer 37), De Jong (Janssen 80), Promes (Afellay 45) 

Subs not used: Karsdorp, Letschert, Narsingh, Huntelaar, Zoet, Vermeer
Scorers: De Jong 47, Afellay 86  

France (4-3-3): Mandanda, Jallet, Varane, Koscielny, Evra (Digne 45), Pogba (Sissoko 87), Diarra (Kante 45), Matuidi, Griezmann (Martial 45), Giroud (Gignac 73), Payet

Subs not used: Lloris, Sakho, Cabaye, Sagna, Coman, Mathieu, Costil
Booked: Matuidi 
Scorers: Griezmann 6, Giroud 13, Matuidi 87 

A screen outside the Amsterdam ArenA on Friday evening displays a picture in memory of Cruyff 
A marching band have pictures of the Dutch legend on their instruments as they play before the kick-off
A picture with flowers is placed inside the stadium as the footballing world mourns the death of Cruyff
As well as the large banner, fans held up signs displaying his No 14, which he wore to grace a football pitch
 
                            STORI YA TATU;
Luis Suarez celebrates scoring the equaliser for Uruguay against Brazil on Friday night at Pernambuco Arena  Mshambuliaji wa Uruguay, Luis Suarez akishangilia baada ya kuifungia timu yake katika sare ya 2-2 na wenyeji Brazil usiku wa jana Uwanja wa Pernambuco Arena mjini Recife kwenye mchezo wa kufuzu Kombe la Dunia.
 
 The goal came after Cavani had himself scored to get Uruguay back into the game after they had trailed 2-0
 
 Bao lingine la Uruguay lilifungwa na Edinson Cavani, wakati ya Brazil yalifungwa na Douglas Costa na Renato Augusto. 
 
 The Bayern Munich winger was mobbed by team-mates David Luiz (left), Dani Alves (centre) and Miranda
 
 Ikumbukwe Suarez alikuwa anaichezea kwa mara ya kwanza Uruguay baada ya miezi 20 ya kutumikia adhabu yake ya kufungiwa kwa kumng'ata Giorgio Chiellini kwenye fainali za kombe la Dunia mwaka 2014 Brazil
 
 Suarez and Neymar, both team-mates for Barcelona, embrace before the fixture between Brazil and Uruguay Wachezaji wanaounda safu ya ushambuliaji  ya Barcelona  Suarez na Neymar, wakikumbatiana katika mchezo huo                      

                                        MATCH FACTS

Brazil: Alisson 5.5, Alves 6, Miranda 4, David Luiz 3.5, Filipe Luis 5, Gustavo 6, Fernandinho 6 (Coutinho 67, 6), Renato 7.5, Willian 8 (Lima 85), Neymar 8.5, Douglas Costa 6.5 (R Oliviera 78)

Booked: Neymar, Alves, Luiz
Goals: Douglas Costa 1, Renato 26

Uruguay: Muslera 6, Fucile 5, Coates 4, Victorino 5.5, A Pereira 5, C Sanchez 7.5 (Stuani 80), Arevalo 6.5, Vecino 6, C Rodriguez 6, Cavani 7, Suarez 8.5
Booked: Suarez

Goals: Cavani 31, Suarez 48
Attendance: 45,010
Referee: Nestor Pitana (Argentina)

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox