RAIS wa klabu ya Simba ya Dar es Salaam,
Evans Elieza Aveva amemteua Kapteni wa zamani wa Jeshi la Wananchi
Tanzania (JWTZ), Zacharia Hans Poppe (pichani kulia) kuwa Mwenyekiti wa
Kamati ya Maendeleo ya Ujenzi wa Uwanja Bunju Complex.
Katika taarifa iliyotolewa na Ofisa
Habari wa Simba, kazi kubwa ya Kamati hiyo itakuwa kuratibu shughuli
zote za ujenzi wa Uwanja ikiwa ni pamoja na kutafuta fedha za ujenzi
unaotarajiwa kuanza hivi karibuni.
Mbali na Hans Poppe, ambaye pia ni
Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili, Aveva amemteua Salim Muhene, ambaye pia
ni Mjumbe wa Kamati ya Utendaji kuwa Makamu wa Mwenyekiti.
Katibu ni Issa Batenga wakati Wajumbe wa
Kamati hiyo ni Ally Suru, ambaye Mjumbe wa Kamati ya Utendaji, Adam
Mgoyi ambaye pia ni Mjumbe wa Baraza la Wadhamini, Crescentius Magori,
Imani Kajula na Jerry Yambi.
Kamati hiyo inatarajiwa kukutana Waandishi wa Habari kuelezea mikakati yao juu ya majukumu waliyopewa.
Chanzo: Binzubery Sports
TANGAZA NASI: +255 655 442 255
CHANZI OPEN SCHOOL
Jumatatu, 11 Aprili 2016
Home
/
Unlabelled
/
HARAKATI ZA UJENZI WA UWANJA KUANZA RASMI BUNJU, HIKI HAPA KIKOSI KAZI PALE MSIMBAZI
HARAKATI ZA UJENZI WA UWANJA KUANZA RASMI BUNJU, HIKI HAPA KIKOSI KAZI PALE MSIMBAZI
About asantemuya
Soratemplates is a blogger resources site is a provider of high quality blogger template with premium looking layout and robust design. The main mission of templatesyard is to provide the best quality blogger templates.
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA
Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni