STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Alhamisi, 14 Aprili 2016

LIVERPOOL WALIVYOISHANGAZA DUNIA JANA USIKU, ANGALIA MAGOLI YALIVYOFUNGWA NA MATOKEO MENGINE

 Liverpool 4-3 Borussia Dortmund (5-4 agg): Dejan Lovren, Mamadou Sakho, Phillipe Coutinho


Jurgen Klop alikuwa ni mwenye hisia kali baada ya kikosi chake kufanya maajabu ya kutoka nyuma na kuichapa klabu yake ya zamani Borussia Dortmund kwa mabao 4-3 na kufuzu kucheza nusu fainali ya Europa League kwa jumla (aggregate) ya magoli 5-4

Wakati anafanyiwa interview na kiuo cha BT Sport mara baada ya mchezo kumalizika, Jurgen Klopp alifanya ‘blunder’ kwa kukosea kuongea na kuwaacha hoi mamilioni ya mashabiki waliokuwa wakishuhudia mahojiano hayo.

Mtangazaji: “You’re close to winning the trophy now…”
Klopp: “Please don’t ask me this s***.” 

Angalia video wakati Klopp akihojiwa baada ya mchezo kumalizika na majibu aliyoyatoa alipoulizwa kuhusu kutwaa ubingwa wa Europa League.




Moja kati ya wachezaji walioirudisha Liverpool kwenye mchezo ni pamoja na Divock Origi ambaye alifunga goli la kwanza dakika chache baada ya kuanza kwa kipindi cha pili.

Kinda huyo wa Ubeligiji anakisema kile ambacho Jurgen Klopp aliwaambia wachezaji wake kwenye vyumba vya kuvalia wakati wa mapumziko.

“Wakati wa mapumziko kocha alituambia lazima tutengeneze kitu cha kuja kuwasimuli watoto au wajukuu zetu na kuufanya usiku huu kuwa maalumu kwa mashabiki”, amesema Origi ambaye alifunga bao la kwanza dakika ya 48 kipindi cha pili na kufanya matokeo kuwa 2-1 kabla ya Reus hajawaongezea mlima wa kupanda alipofunga goli la tatu na matokeo kuwa 3-1 lakini magoli ya Sakho na Lovreni yakaokoa jahazi la Liverpool.

Mchezo huo utakumbukwa na wachezaji wa Liverpool na baadaye watakuwa wakiwasimulia wajukuu zao juu ya usiku huo ambao waliingia hatua ya nusu fainali kwa style ya aina yake.

 Origi 1
Angalia video Divock Origi akihojiwa baada ya mchezo wa Liverpool vs Borussia Dortmund




ANGALIA MAGOLI YOTE KWENYE GEMU YA LIVERPOOL VS DORTMUND
UEFA Europa League
FT
  Liverpool
4 - 3
  Borussia Dortmund
Aggregate 5 - 4
PEN
  Sevilla
1 - 2
  Athletic Club
Aggregate 3 - 3, Sevilla lead 5 - 4 on penalties
FT
  Shakhtar Donetsk
4 - 0
  Sporting Braga
Aggregate 6 - 1
FT
  Sparta Praha
2 - 4
  Villarreal
Aggregate 3 - 6

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox