Ratiba ya nusu fainali michuano ya kombe la mabingwa Barani Ulaya imepangwa na kushuhudia Manchester City kutoka Uingereza ikipangwa na Real Madrid ya Uhispania wakati Atletico Madrid pia ya Uhispania wakipangwa na Bayern Munich ya Ujerumani.
First leg
Manchester City vs Real Madrid - April 26
Atletico Madrid vs Bayern Munich - April 27
VS
Second leg
Bayern Munich vs Atletico Madrid - May 3
Real Madrid vs Manchester City - May 4
Ratiba ya nusu fainali michuano ya kombe la Uefa Europa ligi imepangwa na kushuhudia Shakhtar Donetsk ya Ukraine ikipangwa na Sevilla ya Uhispania wakati Liverpool ya Uingereza wakipangwa na Villareal ya Uhispania.
Nusu fainali hizo zitachezwa April 28 huku marejeano yakiwa May 5
VS
VS
KIKOSI BORA BAADA YA KUCHEZWA ROBO FAINALI
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni