STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Alhamisi, 7 Aprili 2016

MATOKEO YOTE YA UEFA NDOGO YAPO HAPA, KAZI IPO...........


A Dortmund supporter holds up a 'All you need is Klopp, all we need is this cup' poster ahead of the match in Germany
Liverpool wakiwa ugenini nchini Ujerumani walitoka sare ya 1-1 dhidi ya Borrusia Dortmund, Divock Origi aliwafungia Liverpool bao la kuongoza kabla ya beki wa Dortmund Mats Hummels kusawazisha.
 Another Dortmund fan holds up a 'welcome home Klopp' banner prior to the Europa League quarter-final in Dortmund
Sevilla wakawachapa ndugu zao wa Athletic Bilbao kwa mabao 2-1mabao ya ushindi ya Sevilla yakifungwa na Timothee Kolodziejczak na Vicente Iborra, huku bao la kufutia machozi la Bilbao likifungwa na Aduriz Zubeldia.

Sporting Braga wakiwa wenyeji wa Shakhtar Donetsk walikubali kulala kwa kichapo cha mabao 2-1,wachezaji Yaloslav Rakitskiy na Facundo Ferreyra wakifunga mabao ya ushindi, huku Naval Costa Eduardo kwa Braga.

Villarreal wakicheza katika dimba la El Madrigal wlichomoza na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Sparta Prague, Cedric Bakambu akifunga mabao yote mawili kwa upande Villareal huku Jakub Brabec akifunga bao pekee la Sparta.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox