YANGA
imeiuzia Azam TV haki za kurusha mechi ya kwanza ya hatua ya 16 Bora
Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Al Ahly ya Misri kesho Uwanja wa Taifa,
Dar es Salaam.
Maana yake kesho Watanzania wote wataushuhudia mchezo huo kupitia Televisheni nchini.
Azam TV wamefanikiwa kupata haki hizo baada ya kuwapiku Al Ahly ambao pia walikuwa wanataka haki za kurusha mechi hiyo.
Mapema jana Yanga iliwagoma Al Ahly kurusha matangazo ya mechi hiyo.
Yanga
watakuwa wenyeji wa Ahly kesho Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam katika
mchezo wa kwanza hatua ya 16 Bora Ligi ya Mabingwa Afrika na Ahly
walitaka wachukue matangazo kwa ajili ya kurusha Misri tu.
Hata hivyo, leo uongozi wa Ahly umethibitisha rasmi kwamba umenyimwa haki hiyo na utaonyesha mechi hiyo kupitia mitandao tu
TANGAZA NASI: +255 655 442 255
CHANZI OPEN SCHOOL
Ijumaa, 8 Aprili 2016
TAARIFA RASMI KUHUSU KUONESHWA MCHEZO WA YANGA NA AL AHLY.....
About asantemuya
Soratemplates is a blogger resources site is a provider of high quality blogger template with premium looking layout and robust design. The main mission of templatesyard is to provide the best quality blogger templates.
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA
Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni