STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumanne, 12 Julai 2016

JUMAMOSI GEMU YA YANGA DHIDI YA MADEAMA TAIFA "LIVE"



MCHEZO wa mwisho wa mzunguko wa kwanza wa Kundi A Kombe la Shirikisho Afrika kati ya wenyeji, Yanga SC na Medeama FC ya Ghana utaonyeshwa moja kwa moja na Azam TV.

Mchezo huo utakaofanyika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam Jumamosi, unasubiriwa kwa hamu na mashabiki wa Yanga nchini kote na kurushwa moja kwa moja na Azam TV ni faraja kwa wapenzi wa timu hiyo waishio nje ya Jiji hilo.
 https://hivisasa.co.tz/wp-content/uploads/2016/07/13680692_1203110443064820_421724068370865414_n-300x300.jpg
Yanga inaendelea na mazoezi Uwanja wa Boko Veterani, Dar es Salaam huku ikiwa imeweka kambi hoteli Ludger Plazza, Kunduchi kujiandaa na mchezo wa tatu wa kundi lake, wakati Medeama inatarajiwa kuwasili kuanzia leo.

Yanga inahitaji ushindi dhidi ya Medeama baada ya kupoteza mechi zote mbili za mwanzo wakifungwa 1-0 mara zote – na Mo Bejaia nchini Algeria Juni 19 na TP Mazembe ya DRC Dar es Salaam Juni 28.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox