STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumamosi, 23 Julai 2016

KWA BEI HII YA KITANZANIA NDO UTAPATA UZI MPYA WA MANCHESTER UNITED.......


Baada ya Man United kutambulisha jezi zao za ugenini zenye rangi ya blue watakazotumia katika msimu wa 2016/2017, leo Jumamosi ya July 23 Man United wametambulisha rasmi tena jezi zao mpya watakazotumia katika mechi za nyumbani.

36866C9B00000578-3704477-image-a-17_1469261720740

Jezi za nyumbani za Man United huwa na rangi nyekundu utofauti huwa ni muundo tu, Man United kwa sasa jezi zao zitakuwa na rangi nyekundu iliyokolea upande mmoja na upande pili rangi nyekundu iliyopooza, kama utakuwa unahitaji jezi ya Man United ya mikono mifupi bila jina na namba ni pound 60 ambazo ni zaidi ya Tsh 170000.

368644E900000578-3704477-image-a-4_1469263315673

Kwa upande wa mashabiki watakaopenda kuvaa jezi za nyumbani za Man United za mikono mirefu watalazimika kulipa pound 65 ambazo ni zaidi ya Tsh 180,000, bukta pound 30 ambazo ni zaidi ya Tsh 80,000, soksi pound 13 ambazo ni zaidi ya Tsh 35,000, kwa watakaopenda kuvaa full itakuwa pound 103 ambazo ni zaidi ya Tsh 290,000.

36866C9300000578-3704477-image-a-19_1469261753952
3686438100000578-3704477-image-a-6_1469263374448
36866C9700000578-3704477-image-a-21_1469261792568

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox