STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumatano, 17 Septemba 2014

WAKATI ARSENAL, LIVERPOOL, CITY, CHELSEA WAKIWA BIZE ULAYA, MAN WANAKULA BATA

Wakati timu nyingine za England zikiwa bize na Ligi ya Mabingwa Ulaya wachezaji wa Man United watafanyaje sasa.

Wameamua kula bata tu kama ambavyo imeonekana picha ambayo aliitupia kipa David de Gea akiwa an wenzake wanapata mlo wa usiku jana.
Kipa huyo alikuwa na wachezaji wengine kama Marcos Rojo, Rafael, Antonio Valencia, Andreas Pereira, Anderson, Angel di Maria, Ander Herrera and Juan Mata.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox