STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Alhamisi, 26 Novemba 2015

KAULI YA VAN GAAL MCHEZO WA MWISHO WA UEFA DHIDI YA WOLFSBURG.....

This is not a natural way for Manchester United's stars... mutiny is once again in the air

MENEJA wa Manchester United, Louis van Gaal amekiri kikosi chake kinakabiliwa safari ya kwenda Wolfsburg katika mchezo wao wa mwisho wa makundi ya michuano Ligi ya Mabingwa Ulaya Desemba 8 mwaka huu lakini amejitapa kuwa watashinda na kutinga hatua ya timu 16 bora.
 
Louis van Gaal watched his side draw 0-0 with PSV Eindhoven at Old Trafford on Wednesday night
 
 United iko alama moja nyuma ya Wajerumani hao katika kundi lao kufuatia sare ya bila kufungana waliyopata dhidi ya PSV Eindhoven ya Uholanzi.
 
Wayne Rooney looks dejected against PSV
 United sasa watahitajika kushinda ili kusonga mbele kwasababu wana alama moja nyuma ya PSV wanaowafuatia ambao wana rekodi nzuri walipokutana nao. 
 
Rooney's from in front of goal has been a concern for United this season 
Akihojiwa Van Gaal amesema kila kitu kinawezekana na wana uwezo wa kushinda mahali popote kwani wameonyesha hilo katika Ligi Kuu na sasa wanapaswa kufanya katika michuano hiyo.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox