STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Alhamisi, 10 Julai 2014








Baada ya mizengwe kibao, hatimaye mshambuliaji nyota wa Borussia Dortimund, Robert Lewandowski ametua katika kikosi cha Bayern Munich.

Lewandowski, amesaini mkataba wa miaka mitano na mabingwa hao wa Ujerumani, klabu aliyokuwa na ndoto ya kuichezea lakini kukawa na mizengwe iliyotawala.
Mkali huyo amefunga mabao 74 na kusababisha 31 katika mechi zake 131 za Bundesliga akiwa na  Dortmund aliyojiunga nayo mwaka 2010 akitokea klabu ya Lech Poznan ya nchini kwake Poland.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox