STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Alhamisi, 10 Julai 2014

SIRI YAFICHUKA, KUMBE WACHEZAJI UHOLANZI WALIMGOMEA VAN GAAL KUPIGA PENALTI



Mzaha: Kipa Sergio Romero akiokoa penalti ya Ron Vlaar wa Uholanzi

KOCHA wa Uholanzi, Louis van Gaal amesema kwamba wachezaji wake wawili waligoma kupiga penalti ya
kwanza jana wakitolewa na Argentina Katika Nusu Fainali Kombe la Dunia.
Uholanzi ilishindwa kurudia ilichokifanya Robo Fainali dhidi ya Costa Rica waliposhinda kwa penalti, baada ya beki wa Aston Villa, Ron Vlaar kukosa penalti ya kwanza na Wesley Sneijder pia akapoteza.
Argentina ilifunga penalti zote nne kujihakikishia kutinga Fainali ambako itamenyana na Ujerumani Uwanja wa Maracana Jumapili.
Baada ya mechi, Van Gaal - ambaye anakwenda kuanza kazi Manchester United wiki ijayo- alisema kwamba wachezaji wake wawili waligoma kupiga penalti ya kwanza.
"Unahitaji kufunga ya kwanza na niliwaomba wachezaji wawili kupiga mpira wa kwanza, nikamalizia na Vlaar. Nafikiri alikuwa mchezaji bora uwanjani, hivyo alikuwa anajiamini. Ikaonekana si rahisi kufunga katika matuta,"amesema.
Acrobatic: Argentina goalkeeper Sergio Romero saves a penalty from midfielder Wesley Sneijder
Mkali wa matuta: Kipa wa Argentina, Sergio Romero akiokoa penalti ya kiungo Wesley Sneijder

Agonising: Gonzalo Higuain saw this opportunity at the back post slip wide
 Gonzalo Higuain alipoteza nafasi muhimu ya kufunga katika dakika za kawaida. 
Head-to-head: Ezequiel Garay and Robin van Persie collide in a painful mid-air collision
Kichwa kwa kichwa: Ezequiel Garay na Robin van Persie waligongana
Flying Dutchman: Arjen Robben is sent tumbling by a slide challenge during the ill-tempered semi-final
Arjen Robben alikaziwa vibaya sana, lakini alionesha cheche kama kawaida
On the volley: Holland captain Robin van Persie tries to reach a cross with a swing of his right leg
Nahodha wa Uholanzi,  Robin van Persie akijaribu kuupiga mpira kwa guu lake la kulia.
Nasty: Georginio Wijnaldum raises his boot to Javier Mascherano after the Argentina man heads the ball clear, one of many moment of aggression in the match
 Georginio Wijnaldum na  Javier Mascherano  mambo hayakuwa rahisi.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox