STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Ijumaa, 11 Julai 2014

HAYA NDIYO MAISHA YA FRANK DOMAYO KWA SASA, YEYE NA KITANDA, KITANDA NA YEYE

Ataishi hapa kwa mwezi mzima, baada ya hapo atainuka kwenda kutoa hogo. Ataendelea kuugulia maumivu kwa miezi mitatu zaidi kabla ya kuanza mazoezi mepesi. Hiyo ni baada ya kiungo Frank Domayo kufanyiwa upasuaji wa nyama za paja wiki iliyopita nchini Afrika Kusini, siku chache tangu ajiunge na Azam FC akitokea Yanga SC, zote za Dar es Salaam.
Huyu ni kinda aliyeibukia vizuri msimu uliopita katika kikosi cha kwanza cha Azam, winga Joseph Kimwaga ambaye naye alifanyiwa upasuaji wa goti Afrika Kusini. Naye pia atakuwa nje kwa miezi minne. Wawili hawa wapo chumba kimoja, nambari 19, katika hosteli za Azam Complex, Chamazi, Dar es Salaam, makao makuu ya klabu ya Azam FC. 

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox