STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Alhamisi, 10 Julai 2014

ORIGI MAMBO SAFI KWA MAJOGOO WA JIJI, MUDA WOWOTE ANAMWAGA WINO!

Anfield bound? Divock Origi (right) has flown into Liverpool to discuss a possible move to the club
Anakwenda Anfield? Divock Origi (kulia) amesafiri mpaka Liverpool kujadili uwezekano wa kujiunga na klabu hiyo.

Liverpool wanakaribia kukamilisha usajili wa wachezaji wawili, nyota wa Ubelgiji katika fainali za kombe la dunia mwaka huu, Divock Origi na winga wa  Benfica, Lazar Markovic.
Usajili huo utaigharimu Liverpool dau la paundi milioni 30.
Orig alipigwa picha akiwasili mjini Liverpool jana jumatano ili kuzungumza na maofisa wa klabu katika uwanjani wa mazoezi wa Melwood na anaweza kupimwa afya  leo alhamisi.
Ada ya uhamisho ya paundi milioni 19.8 kwa ajili ya Markovic inaaminika imeshakubaliwa na Benfica, wakati Origi anaonekana ataigharimu Liverpool paundi milioni 10 kutokea klabu ya Lille ya Ufaransa,.
Hata hivyo, nao Tottenham waliripotiwa kuiwinda saini ya nyota huyo.
Arriving: Origi (pictured with orange sleeves) is taken into Liverpool's Melwood training ground
Akiwasili: Origi (pichani mwenye nguo yenye rangi ya njano) alichukuliwa kwenda uwanja wa mazoezi wa Liverpool, Melwood 
Not done yet: Although Origi arrived on Merseyside a deal has not yet been finalised
Mambo bado: Japokuwa Origi aliwasili Merseyside dili baod halijakamilika
Impact: Origi, who has come through at Lille this season, is also interesting Tottenham
 Origi aliyeichezea Lille msimu uliopita anaivutia Tottenham 

Kocha Brendan Rodgers  anatarajia kutumia paundi milioni 75 atakazopata kwa kumuuza Luis Suarez katika klabu ya Barcelona na anakaribia kumuongeza Markovic kikosini.
Klabu hiyo ya Anfield imekuwa katika mazungumzo na Benfika kwa wiki kadhaa ili kuinasa saini ya nyota huyo mwenye miaka 20.
Markovic ameichezea Serbia mechi 12, akifunga mabao mawili na alifunga mabao 49 katika mechi alizoichezea Benfica msimu uliopita.
Origi amegeuka kuwa mvuto baada ya kung`ara katika fainali za kombe la dunia mwaka huu nchini Brazil, akifunga bao katika hatua ya makundi dhidi ya Urusi.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox