STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumatatu, 11 Agosti 2014

ARTETA NAHODHA MPYA ARSENAL, MSAIDIZI WAKE MERTESACKER

Mikel Arteta amateueliwa kuwa Nahodha mpya wa Arsenal
KOCHA Arsene Wenger amemthibitisha Mikel Arteta kuwa Nahodha mpya wa Arsenal kufuatia kumuuza Thomas Vermaelen kwa Barcelona FC.
Kocha huyo wa The Gunners, ambaye aliishuhiudia timu yake ikiwafumua mabao 3-0 mabingwa wa England, Manchester City katika mchezo wa Ngao ya Jamii jana, alilazimika kuwa na Nahodha mpya baada ya aliyekuwa Nahodha wake, Vermaelen kutimkia Barcelona.
Mustakabli wa Arteta katika klabu bado hauko wazi sana, lakini inaonekana kwa kukabidhiwa uongozi wa wachezaji wenzake, mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 32 atabaki Arsenal msimu huu. Per Mertesacker ameteuliwa kuwa Nahodha Msaidizi.
 

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox