STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumatatu, 11 Agosti 2014

MIROSLAV KLOSE ASTAAFU UJERUMANI BAADA YA REKODI YA KUTISHA YA MABAO HADI KOMBE LA DUNIA


Mchezo umekwisha: Miroslav Klose ametangaza kustaafu soka ya kimataifa baada ya kuifungia Ujerumani mabao 71
MFUNGAJI bora wa kihistoria wa Ujerumani, Miroslav Klose, ametangaza kustaafu soka ya kimataifa.
Kiasi kama cha mwezi mmoja tangu ashjinde Kombe la Dunia na nchi yake nchini Brazil, mkongwe huyo mwenye umri wa miaka 36 ameamua kupumzika timu ya taifa.
Amefikisha jumla ya mabao 16 aliyofunga katika Kombe la Dunia na jumla ameifungia mabao 71 timu yake ya taifa. Huyo ndiye pia mfungaji wa mabao mengi zaidi katika Fainali za Kombe la Dunia, akifuatiwa na Mbrazil Ronaldo Lima mwenye mabao 15.

REKODI YA MABAO YA KLOSE KOMBE LA DUNIA

1, 2, 3: Ujerumani 8-0 Saudi Arabia, makundi, 2002
4: Ujerumani 1-1 Jamhuri ya Ireland, makundi, 2002
5: Cameroon 0-2 Ujerumani, makundi, 2002
6, 7: Ujerumani 4-2 Costa Rica, makundi, 2006
8, 9: Ecuador 0-3 Ujerumani, makundi, 2006
10: Ujerumani 1-1 Argentina (baada ya dakika 120, penalti 4-2), Robo Fainali, 2002
11: Ujerumani 4-0 Australia, makundi, 2010
12: Ujerumani 4-1 England, 16 Bora, 2010
13, 14: Argentina 0-4 Ujerumani, Robo Fainali, 2010
15: Ujerumani 2-2 Ghana, makundi, 2014
16: Brazil 1-7 Ujerumani, Nusu Fainali, 2014
Perfect ending: Klose scored twice as Germany lifted the World Cup in Brazil this summer
Klose alifunga mabao mawili Ujerumani ikitwaa Kombe la Dunia nchini Brazil mwaka huu

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox