STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumatatu, 25 Agosti 2014

VAN GAAL AKIRI ALAMA MOJA WALIYOPATA SUNDERLAND HAITOSHI.

MENEJA wa klabu ya Manchester United, Louis van Gaal amekiri baada ya kutoa sare ya bao 1-1 dhidi ya Sunderland kuwa alama moja katika mechi mbili za Ligi Kuu walizocheza hazitoshi. 
 
Akihojiwa kocha huyo raia wa Uholanzi amesema wamepata alama moja na jambo hilo sio zuri kwa klabu kama hiyo
 
Van Gaal amesema wanatakiwa kufanya kazi kwa bidii zaidi kwani wacchezaji wamesikitishwa na sare hiyo baada ya mchezo kwasababu walikuwa na uhakika wa kushinda. Kocha huyo aliendelea kudai kuwa kwasasa wanahitaji walau kushinda mechi moja ili kurejesha hali ya kujiamini halafu wataona huko mbele watakavyokwenda.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox