STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumapili, 7 Septemba 2014

ARSENAL MBIONI KUWAPIGA KITANZI KINGINE GIROUD, ARTETA.....

New deal: Arsenal striker Olivier Giroud is to be offered a contract extension until the summer of 2018
  Mshambuliaji wa Arsenal, Olivier Giroud anatarajia kupewa ofa ya kuongezewa mkataba mpaka majira ya kiangazi mwaka 2018.

ARSENAL wamegeuzia macho yao katika kuwatia kitanzi wachezaji waliopo katika kikosi chake baada ya kutumia paundi milioni 80 katika usajili wa majira ya kiangazi mwaka huu.
Olivier Giroud na Mikel Arteta wote wapo katika harakati za kuongezewa mikataba kufuatia klabu kusajili vipaji vipya majira haya ya kiangazi akiwemo Alexis Sanchez na Danny Welbeck.
Taarifa zitakuwa nzuri kwa Giroud baada ya kuwa nje ya uwanja kwa miezi minne kutokana na kuvunjika kifundo cha mguu.
Extension: Mikel Arteta (left) will be offered an extra 12 months on his current deal at the Emirates Stadium
Naye kama kawa!: Mikel Arteta (kushoto)  naye ataongezewa miezi 12 katika mkataba wake wa sasa Emirates 
Nightmare:  Arsenal physio Colin Lewin attends to Oliver Giroud after he sustained an ankle injury
Majanga: Daktari wa viungo wa Arsenal, Colin Lewin akiingia uwanjani kumtibu Oliver Giroud baada ya kuumia kifundo cha mguu

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox