BABA wa mshambuliaji
nyota wa kimataifa wa Argentina na klabu ya Barcelona, Lionel Messi
amesisitiza kuwa mwanae huyo hahusiki na masuala yake ya kodi na hivyo
hapaswi kujumuishwa katika uchunguzi wa tuhuma za ukwepaji kodi. Messi
na baba yake Jorge ambao walikana tuhuma hizo wanatuhumiwa na Mamlaka ya
Hispania kukwepa kulipa kodi ya kiasi cha euro milioni nne kati ya
mwaka 2007 mpaka 2009. Hatua hiyo imekuja kufuatia madai kuwa mapato ya
Messi katika haki za kutumia picha zake zilifichwa kwa kutumia makampuni
kutoka Uruguay, Belize, Switzerland na Uingereza. Jorge amesema mara
zote amekuwa akisisitiza kuwa mwanae hahusiki na suala hilo kwani ni
jambo linalomhusu yeye na wakili wake analishughulikia. Messi amekuwa
mkazi wa jiji la Barcelona toka mwaka 2000 na alipata uraia rasmi mwaka
2005.
TANGAZA NASI: +255 655 442 255
CHANZI OPEN SCHOOL
Alhamisi, 16 Oktoba 2014
MESSI ATETEWA NA BABA YAKE KESI KUKWEPA KODI.
About asantemuya
Soratemplates is a blogger resources site is a provider of high quality blogger template with premium looking layout and robust design. The main mission of templatesyard is to provide the best quality blogger templates.
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA
Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni