STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumatano, 18 Machi 2015

AGUERO AKOSA PENALTI, CITY IKICHAPWA 1-0,YATUPWA NJENA BARCA

 

Kiungo Ivan Rakitic amekuwa shujaa kwa kufunga bao pekee katika mechi ya Ligi ya Mabingwa hatua ya 16 Bora kati ya wenyeji Barcelona dhidi ya Manchester City.

Barcelona imesonga hadi robo fainali baada ya kupata ushindi ikiwa nyumbani hivyo kuvuka kwa jumla ya mabao 3-1 baada ya ushindi wa 2-1 ikiwa ugenini.
Mshambuliaji wa Barcelona, Lionel Messi alikuwa katika kiwango cha juu, kwani licha ya kutoa pasi ya bao, lakini ndiye alikuwa akiwapa wakati mgumu mabeki na viungo wa City hadi “mzee mzima” yaya Toure, akatolewa.
Naye Sergio Aguero alikosa penalti iliyopatikana baada ya yeye kuangushwa.
VIKOSI:
Barcelona: Ter Stegen, Dani Alves, Pique, Mathieu, Jordi Alba, Rakitic, Mascherano, Iniesta, Messi, Suarez, Neymar.
Subs: Bravo, Xavi, Pedro, Rafinha, Bartra, Sergi Roberto, Adriano.
Man City: Hart, Sagna, Kompany, Demichelis, Kolarov, Nasri, Toure, Fernandinho, Milner, Silva, Aguero.
Subs: Caballero, Zabaleta, Fernando, Dzeko, Bony, Jesus Navas, Lampard.











Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox