Kiungo Ivan Rakitic amekuwa shujaa kwa kufunga
bao pekee katika mechi ya Ligi ya Mabingwa hatua ya 16 Bora kati ya wenyeji
Barcelona dhidi ya Manchester City.
Barcelona imesonga hadi robo fainali baada ya kupata ushindi ikiwa nyumbani hivyo
kuvuka kwa jumla ya mabao 3-1 baada ya ushindi wa 2-1 ikiwa ugenini.
Mshambuliaji wa Barcelona, Lionel Messi alikuwa
katika kiwango cha juu, kwani licha ya kutoa pasi ya bao, lakini ndiye alikuwa
akiwapa wakati mgumu mabeki na viungo wa City hadi “mzee mzima” yaya Toure,
akatolewa.
Naye Sergio Aguero alikosa penalti iliyopatikana
baada ya yeye kuangushwa.
VIKOSI:
Barcelona: Ter Stegen, Dani Alves, Pique,
Mathieu, Jordi Alba, Rakitic, Mascherano, Iniesta, Messi, Suarez, Neymar.
Subs: Bravo, Xavi, Pedro, Rafinha, Bartra, Sergi Roberto, Adriano.
Subs: Bravo, Xavi, Pedro, Rafinha, Bartra, Sergi Roberto, Adriano.
Man City: Hart, Sagna, Kompany, Demichelis,
Kolarov, Nasri, Toure, Fernandinho, Milner, Silva, Aguero.
Subs: Caballero, Zabaleta, Fernando, Dzeko, Bony, Jesus Navas, Lampard.
Subs: Caballero, Zabaleta, Fernando, Dzeko, Bony, Jesus Navas, Lampard.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni