STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumatano, 18 Machi 2015

TEVEZ APIGA MBILI JUVE IKIENDA ROBO FAINALI LIGI YA MABINGWA ULAYA

 Carlos Teves ameng’ara na kupachika mabao mawili na kutoa pasi ya bao jingine kwa Alvaro Morata wakati Juventus ikishinda 3-0 ugenini dhidi ya Borussia Dortmund.


Juve sasa imefuzu hadi robo fainali kwa jumla ya mabao 5-1 baada ya ushindi wa 2-1 ikiwa ugenini.

Tevez ameonyesha kiwango cha juu katika mechi hiyo na kuiwezesha Juve kufuzu.
VIKOSI:
Borussia Dortmund: Weidenfeller, Papastathopoulos, Subotic, Hummels, Schmelzer, Kampl, Bender, Gundogan, Reus, Mkhitaryan, Aubameyang.
Subs: Langerak, Kehl, Kagawa, Blaszczykowski, Kirch, Immobile, Ramos.
Juventus: Buffon, Lichtsteiner, Bonucci, Chiellini, Evra, Vidal, Marchisio, Pogba, Tevez, Pereyra, Morata.
Subs: Storari, Ogbonna, Barzagli, Pepe, Padoin, Llorente, Matri.
Referee: Milorad Mazic (Serbia)



Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox