STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Ijumaa, 27 Machi 2015

SANCHEZ ASHINDWA KUIOKOA CHILE IKICHAPWA BAO 2-0 NA IRAN

Mshambuliaji nyota wa Arsenal, Alexis Sanchez ameshindwa kuikoa timu yake ya taifa ya Chile ilipokutana na kipigo cha mabao 2-0.

Chile ilishindwa kuonyesha uwezo wa kuifunga ikiwa ni mara ya kwanza timu hizo kukutana, mechi ikipigwa kwenye Uwanja wa NV Arena, St Polten nchini Austria.
 
Iran ikiongozwa na bosi msaidizi wa zamani wa Man United, Carlos Queiroz ilionyesha soka safi na kuwapa wakati mgumu Wachile hao.

Mabao ya Iran katika mechi hiyo yalifungwa na
Javad Nekounam na Vahid Amiri.



Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox