MENEJA wa klabu ya
Arsenal, Arsene Wenger anajipanga kuingia katika kinyang’anyiro cha
kutaka kumsajili winga wa Liverpool Raheem Sterling katika majira ya
kiangazi. Wenger amekuwa akimhusudu sana nyota huyo na yuko tayari
kujaribu bahati yake kutokana na sakata juu ya mkataba linaloendelea
katika klabu yake. Sterling mwenye umri wa miaka 20 amesimamisha
mazungumzo kuhusu mustakabali wake mpaka majira ya kiangazi ili
kuhamishia nguvu zake katika soka lakini Liverpool wanahofu kuwa
hatasaini mkataba mpya. Kuchelewa huko kumezigutusha klabu kubwa ambazo
pia zinamtamani wakiwemo Real Madrid, Bayern Munich na Manchester
City. Arsenal nao wanajipanga kuingia katika kinyang’anyiro hicho
kujaribu tena kumsajili baada ya kushindwa kumsajili wakati akiwa na
miaka 10 mwaka 2010.
TANGAZA NASI: +255 655 442 255
CHANZI OPEN SCHOOL
Jumatatu, 30 Machi 2015
WENGER AMVALIA MABOMU RAHEEM STERLING.
About asantemuya
Soratemplates is a blogger resources site is a provider of high quality blogger template with premium looking layout and robust design. The main mission of templatesyard is to provide the best quality blogger templates.
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA
Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni