STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumatano, 1 Aprili 2015

MOURINHO ANATAKA KUMSAJILI WALCOTT.

KLABU ya Chelsea inafuatilia kwa karibu mwenendo wa suala la mkataba wa Theo Walcott na wanaweza kujitosa kumsajili kama ikiwezekana katika majira ya kiangazi. Nyota huyo wa kimataifa wa Uingereza amekuwa katika mvutano na Arsenal juu ya mkataba mpya huku meneja Arsene Wenger akibanisha kuwa bado anataka kuendelea kuwa na winga huyo. Walcott mwenye umri wa miaka 25 hivi sasa anamalizia miezi 12 ya mwisho katika mkataba wake aliosaini miaka mitatu iliyopita. Pamoja na kukosa nafasi katika kikosi cha kwanza cha Wenger bado Arsenal wanaonekana kuwa na nia ya kuendelea kuwa naye.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox