KLABU ya Chelsea
inafuatilia kwa karibu mwenendo wa suala la mkataba wa Theo Walcott na
wanaweza kujitosa kumsajili kama ikiwezekana katika majira ya
kiangazi. Nyota huyo wa kimataifa wa Uingereza amekuwa katika mvutano na
Arsenal juu ya mkataba mpya huku meneja Arsene Wenger akibanisha kuwa
bado anataka kuendelea kuwa na winga huyo. Walcott mwenye umri wa miaka
25 hivi sasa anamalizia miezi 12 ya mwisho katika mkataba wake aliosaini
miaka mitatu iliyopita. Pamoja na kukosa nafasi katika kikosi cha
kwanza cha Wenger bado Arsenal wanaonekana kuwa na nia ya kuendelea kuwa
naye.
TANGAZA NASI: +255 655 442 255
CHANZI OPEN SCHOOL
Jumatano, 1 Aprili 2015
MOURINHO ANATAKA KUMSAJILI WALCOTT.
About asantemuya
Soratemplates is a blogger resources site is a provider of high quality blogger template with premium looking layout and robust design. The main mission of templatesyard is to provide the best quality blogger templates.
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA
Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni