STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumatano, 22 Aprili 2015

Robo Fainali Ligi Ya Mabingwa Barani Ulaya Kwa Mechi Za Leo

RonaldoMadrid_crop_north

 Baada ya mechi ya awali kutoka sare kwa 0-0 mahasimu wa jiji la Madrid, Real Madrid na Atletico Madrid wanaenda kuchuana leo kwenye uwanja wa Santiago Bernabéu huku wachambuzi wengi wa soka barani Ulaya wakiipa nafasi kubwa timu ya Atletico Madrid.
Mechi nyingine ya leo kwenye ligi ya mabingwa barani Ulaya ni kati ya Juventus na Monaco. Mechi ya Juventus inaamsha hisia upya hasa baada ya kuona kilichotokea siku ya jana kati ya Bayern Munich na Porto, ushindi wa Juventus wa bao 1-0 dhidi ya Monaco kwenye mechi ya awali baada haitoshi kuiakikishia Juventus ushindi wa hatua ya nusu fainali.
Mechi za leo hatua ya ligi ya mabingwa barani ulaya;
Monaco vs Juventus
Real Madrid vs Atletico Madrid

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox