FC BARCELONA imeikandamiza Valencia mabao 2-0 katika mechi ya ligi kuu Hispania, La Liga iliyomalizika usiku uwanja wa Camp Nou.
kama kawaida baada ya Luis Suarez kuichapa PSG mabao mawili kati ya 3-1 ambayo Barcelona ilishinda katikati ya wiki huku Neymar Jr akifunga moja, Muuruguay huyo leo amefunga goli moja.
Gola la pili limefungwa na Lionel Messi.
Baada ya kufunga, Messi ameandika katika ukurasa wake wa facebook kuwa ana matumaini ya kufunga zaidi.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni