STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumanne, 2 Juni 2015

ADIDAS YAMTENGENEZEA MESSI KIATU CHA MAUAJI KWA JUVENTUS;

ADIDAS YAMTENGENEZEA MESSI KIATU CHA MAUAJI KWA JUVENTUS;

 

Kampuni ya vifaa vya michezo ya Adidas imetengeneza kiatu maalum atakachovaa nyota Lionel Messi wakati wa fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya.

Messi atavaa kiatu hicho Juni 6 wakati Barcelona ikiivaa Juventus katika Uwanja wa Olympia jiijini Berlin, Ujerumani.

Viatu hivyo vyeusi vimetengenezwa kwa aina yake huku vikiwa na njumu zinazomsaidia kuongeza kasi.
Tayari Messi ameifungia Barcelona mabao 58 katika michuano yote na anapewa nafasi kubwa ya kuibeba timu yake usiku huo.

Tayari Messi ameifungia Barcelona mabao 58 katika michuano yote na anapewa nafasi kubwa ya kuibeba timu yake usiku huo.
 

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox