STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumatatu, 1 Juni 2015

CRISTIANO RONALDO AMEMALIZA KILA KITU KILICHOBAKI NI KULA BATA TU, MESSI BADO YUPO JOB AINGOJEA JUVENTUS

Baada ya kumaliza msimu wa 2014/2015 wa ligi kuu nchini Hispania La Liga, mshambuliaji hatari wa Real Madrid na timu ya taifa ya Ureno, Cristiano Ronaldo ameamua kujiachia katika ufukwe wa St Tropez.


Ronaldo anapumzika baada ya kucheza mechi 54 za mashindano yote na kufunga magoli 61


Wakati Lionel Messi akiendelea kuing’arisha Barcelona, Ronaldo ameamua kupumzika kwa kuwa sasa hana cha kuisaidia Real Madrid.

Sasa ni bata tu na ameonekana akiwa na marafiki zake katika boti za kifahari.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox