STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Alhamisi, 25 Juni 2015

GONZALO JARA APEWA ADHABU BAADA YA KUMFANYA VIBAYA EDINSON CAVANI


Picha zimeoonesha Gonzalo Jara alimfanyia kitendo kibaya Cavani wakiwa uwanjani kwenye mechi ya robo fainali. 
Lakini baada ya kitendo hicho Cavani alimfanyia madhambi Jara na akapewa kadi nyekundu na kutolewa nje ya uwanja.
Baada ya kitendo kile kupitiwa hivi sasa imetoka adhabu kwenda kwa Gonzalo ambapo amefungiwa kucheza michezo iliyobakia ya Copa America. 
Nchi yake ya Chile itamkosa kwenye mechi ya nusu fainali au fainali kama wakiingia.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox