STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumatatu, 29 Juni 2015

HATIMAYE PETER CECH NI KIPA WA ARSENAL

KIPA Petr Cech ametambulishwa rasmi na Arsenal baada ya kocha Arsene Wenger kukamilisha mpango wake wa muda mrefu wa kumsajili.

Arsenal imetoa kiasi cha Pauni Milioni 10 kwa Chelsea ili kumnunua mlinda mlango huyo hodari wa kimataifa wa Jamhuri ya Czech.

Kwa kuhamia Kaskazini mwa London, Cech aliyesaini Mkataba wa miaka minne, atakuwa analipwa mshahara wa Pauni 100,000 kwa wiki.

Mkongwe huyo anaweza akaidakia The Gunners kwa mara ya kwanza dhidi ya timu yake ya zamani, The Blues Agosti 2 katika mchezo wa Ngao ya Jamii.
Arsenal have confirmed the signing of Petr Cech from Premier League rivals Chelsea
Petr Cech akiwa na jezi ya Arsenal baada ya kusaini kutoka Chelsea

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox