STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Ijumaa, 24 Julai 2015

CHRISTIAN BENTEKE AFANYA MAZOEZI NA WENZAKE KWA MARA YA KWANZA TANGU ATUE LIVERPOOL

Straika mpya wa Liverpool amefanya mazoezi yake ya kwanza leo na Wenzake Liverpool tangu ajiunge na Klabu hiyo kwenye Uwanja wa Mazoezi wa Melwood.

Benteke akiteta na  Mario Balotelli kwa furaha wakati wa Mazoezi

Benteke akiwa karibu na mgeni mwenzake  Roberto Firmino

Benteke akipiga kichwa mpira

Benteke akipeana mpira na Philippe Coutinho, aliyecheza  Copa America msimu huu

Benteke na mpira
Kutua kwa Benteke ni habari nyingine  Balotelli na Fabio Borini wana kazi ya ziada

Balotelli, Emre Can, Coutinho, na  Benteke wakati wanapasha kujiandaa na msimu mpya wa 2015/2016

Picha ya Pamoja

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox