STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumatano, 22 Julai 2015

VAN GAAL AMTUPIA DONGO SCHWEINSTEIGER

Kama kuna mtu anawaza kwamba Bastian Schweinsteiger  atapata urahisi Manchester United, kweli amepotea!.

Akiwa amejiunga na Man United siku za karibuni kutokea Bayern Munich, Schweinsteiger amecheza mechi yake ya  pili asubuhi ya leo, Mashetani wekundu wakishinda 3-1 dhidi ya San Jose Earthquakes.

Baada ya mechi, kocha Louis van Gaal aliulizwa kuzungumzia kiwango cha Schweinsteiger katika mechi yake ya pili.

Meneja huyo amejibu hirahisi mno "Amecheza hovyo".

Wakati Van Gaal akimkosoa Mjerumani huyo, mashabiki wa United walikuwa Busy ku-share pasi moja ndefu iliyochongwa kwa ufundi na Schweini kwenye mechi hiyo.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox