STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumatatu, 17 Agosti 2015

BAADA YA KIPIGO CHA MANCHESTER CITY,CHELSEA YAZINDUKA NA KUMSAJILI MCHEZAJI HUYU...........


The Ghana international left back (right) joins the Blues for an initial fee of £14million

KLABU ya Chelsea imekubali kusajili beki wa kushoto wa kimataifa wa Ghana, Baba Rahman kutoka klabu ya Augsburg ya Ujerumani.

Mabingwa hao wa Ligi Kuu ya England ambao leo wamefungwa mabao 3-0 Manchester City, wamesema watamsainisha Mkataba wa miaka mitano nyota huyo wa Ghana kwa ada ya uhamisho ya Pauni Milioni 14.

Katika dili hilo, beki huyo atapewa Pauni Milioni 3.5 zaidi katika posho kulingana na kiwango chake Chelsea, Pauni 700,000 baada ya mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 21 kufikisha mechi 20 na nyingine Pauni Milioni 3.5 atakapofikisha mechi 100 — maana yake thamani yake inaweza kufika Pauni Milioni 22.


Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox