STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumatatu, 17 Agosti 2015

ALICHO KISEMA STRAIKA MPYA WA SIMBA KELVIN NDAYISENGA....


Moja ya wachezaji waliotikisa vicha vya habari za michezo mwishoni mwa Juma lililopita ni Straika mpya wa Simba, Kelvin Ndayisenga,  raia wa Burundi.

Nyota huyo alifunga goli lake la kwanza Jumamosi iliyopita Simba ikishinda 2-1 dhidi ya URA ya Uganda katika mechi ya kimataifa ya kirafiki.

Kelvin Ndayisenga (katikati) akipongezwa na wachezaji wenzake baada ya kuifungia timu yake goli la kwanza

Baada ya mafanikio hayo, Ndayisenga amesema anajiamini kuwa atakuwa msaada mkubwa wa Wekundu wa Msimbazi ambao hawajawahi kutwaa ubingwa tangu mwaka 2012, huku akikiri kuwa kikosi cha klabu yake mpya kina mpangilio bora.

“Simba ni timu nzuri, ina mpangilio bora, nikibaki hapa ninaamini nitafanya vizuri. Ninajiamini,  nitakuwa msaada mkubwa katika kikosi cha Simba,” alisema Kelvin.


Kocha mkuu wa Simba, Muingereza, Dylan Kerr amewapa mapumziko ya siku kadhaa wachezaji wake.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox