STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumatatu, 17 Agosti 2015

JE BARCELONA KUPINDUA MATOKEO......?


Baada ya kushinda 5-4 dhidi ya Sevilla na kutwaa ubingwa wa Uefa Super Cup katika mechi ya fainali iliyopigwa nchini Georgia Jumanne iliyopita, Barcelona walijikuta wakichezea kichapo cha 4-0 kutoka kwa Athletic Bilbao kwenye mchezo wa kwanza ya Spanish Super Cup uliopigwa Ijumaa iliyopita.

Barcelona wanahitaji ushindi wa magoli 5-0 ili kupindua matokeo hayo.
Mechi ya marudiano inapigwa usiku wa leo uwanja wa Camp Nou kuanzia majira ya saa 5:00 usiku kwa saa za Afrika Mashariki.

Lionel Messi na Luis Suarez jana wamefanya mazoezi na wachezaji wenzao na bila shaka ndio wataongoza safu ya ushambuliaji.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox