STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Alhamisi, 13 Agosti 2015

DE GEA AFUNGUKA KWA UONGOZI WA MAN UNITED....


Mlinda mlango wa Manchester United David De Gea ameuambia uongozi wa klabu yake kuwa ''hakutaka kucheza'' kabla ya kuachwa nje kwenye mchezo wa ufunguzi wa msimu mpya.
Meneja Louis van Gaal hatamtumia mchezaji huyo wa kimataifa wa Uhispania mwenye miaka 24 mpaka dirisha la usajili kufungwa huku kukiwa na uvumi wa kujiunga na Real Madrid.
 Mchezaji huyo bora wa Man United kwa misimu miwili alimwambia kocha wa makipa,  Frans Hoek kuwa hakuwa tayari kwa asilimia 100.
Golikipa wa kimataifa wa Argentina , Sergio Romero alianza katika mchezo huo walioshinda dhidi ya Tottenham. 
De Gea kwa mara nyingine ameachwa nje kwenye kikosi kitakachovaana na Aston Villa Ijumaa hii.
''Sifanyi maamuzi yote peke yangu,'' alisema Van Gaal.''Nina waalimu wawili wasaidizi pamoja na kocha wa makipa Frans Hoek. 
''Fans alikuwa na mazungumzo na De Gea na amekubaliana na kila kitu kuhusu maamuzi yetu''
Van Gaal amesema kuwa yeye pamoja na benchi zima la ufundi walimtanzama De Gea kwenye mazoezi na kugundua kuwa mchezaji huyo wa zamani wa Atletico Madrid ''siyo yule wa siku zote''

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox